#Local News

RUTO, GACHAGUA WAHIMIZWA KUPATANA

Baadhi ya wakazi wa kaunti ya Nyeri na Machakos wamehimiza uwiano baina ya Rais William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua ili kuruhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Kulingana na wakazi hao, hoja ya kumbandua Gachagua imezua siasa za mapema ambazo wanahofia zitazuia utekelezwaji wa miradi hiyo.

Aidha, wamehimiza idara za serikali kutekeleza majukumu yake kikatiba bila kukubali shinikizo zozote.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO, GACHAGUA WAHIMIZWA KUPATANA

SENETI YAANZISHA MCHAKATO WA KUJADILI HOJA YA

RUTO, GACHAGUA WAHIMIZWA KUPATANA

GACHAGUA AKANA MASHTAKA YOTE 11

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *