WAMALWA: MLIKOPA MKALISHA NANI?
Kiongozi wa chama cha DAP kenya Eugine Wamalwa amekosoa hatua ya serikali kupunguza kodi kwa baadhi ya bidhaa muhimu.
Katika mahojiano na klituo kimoja cha redio humu nchini. Wamalwa amesema kuwa serikali ingeonyesha nia ya kusikia kilio cha wakenya kwa kupunguza kodi ya mafuta kwani kulingana naye bila kupunguza kodi hiyo wakenya watazidi kukumbwa na hali ngumu ya Maisha.
Wamalwa aidha ameisuta serikali ya kenya kwanza kwa kuongeza mzigo zaidi wa kodi na kwamba fedha zinazokusanywa katika utoaji wa kodi zinafujwa.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































