#Local News

MAHAMAKA YA MAVOKO IMECHOMEKA

Maafisa wa polisi katika kaunti ya Machakos wameanzisha uchunguzi baada ya faili kadhaa za kesi kuchomeka kufuatia moto kuzuka usiku wa kuamkiia leo katika mahakama ya Mavoko.

Inaarifiwa kuwa moto huo umezuka katika maktaba ya mahakama hiyo kabla ya kusambaa hadi katika ofisi za hazina ya mahakama hiyo.

Maafisa wa polisi wa athi river wakishirikiana na wenzao wa zima moto wa kaunti ya Machakos wameweza kuudhibiti moto huo huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijabainika.

Imetayarishwa na: Janice Marete

MAHAMAKA YA MAVOKO IMECHOMEKA

MGOMO WA MAKANGA KITALE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *