SENETA ONYONKA; NAJUA NINACHOKISEMA

Seneta wa kisii Richard Onyoka amerejelea matamshi yake kwamba serikali inapanga kuuza uwanja wa kimataifa wa Ndege JKIA muda mfupi baada ya rais william Ruto kukanusha madai hayo.
Onyonka amepuuzilia mbali matamshi ya rais william Ruto huku akidai kuwa ana sababu za kusisitiza madai hayo.
Imetayarishwa na Janice Marete