#Local News

KAMATI YA UTEUZI YAMKATAA MTEULE MMOJA

Kamati ya uteuzi katika bunge la kitaifa imekataa uteuzi wa Stella Soi kuhudumu kama Waziri wa masuala ya kijinsia, na kuwaidhinisha wateule wengine 19 waliopigwa msasa wiki jana.

Hatima ya Soi imo mikononi mwa bunge ambao wanatazamiwa kuona iwapo watamwidhinisha au kudumisha uamuzi wa kamati hiyo.

Kamati hiyo inatarajiwa kuwasilisha ripoti ya msasa bungeni muda wowote kuanzia sasa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KAMATI YA UTEUZI YAMKATAA MTEULE MMOJA

GAVANA IRUNGU, VIJANA WAKUTANA

KAMATI YA UTEUZI YAMKATAA MTEULE MMOJA

“SITAKI KUITWA ZAKAYO PEKEE YANGU” RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *