SINA IMANI NA KALONZO; JOHN MBADI
Mwenyekiti wa chama cha ODM John Mbadi amesema kuwa hana imani na kiongozi wa chama cha wiper Kalonzo Musyoka akitetea haja ya kufanyika mazungumzo na serikali ya kenya Kwanza.
Mbadi vile vile amemsuta rais Mtaaafu Uhuru Kenyatta kwa madai kwamba alikuwa na nafasi wazi kumsaidia kiongozi wa ODM Raila Odinga ila hilo halikufanyika.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 
















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































