#Local News

WAKAZI KITALE WAHANGAIKA, WAKOSOA KeNHA

Wakazi wa Matisi kaunti ya Tans Nzoia waliotoa ardhi yao kuruhusu ujenzi wa barabara ya Kitale kuelekea Suam mpakani mwa Kenya na Uganda miaka miwili iliyopita, wamelalamikia fidia walioahidiwa na serikali.

Wakazi hao ambao maduka yao yalibomolewa kupisha ujenzi huo, wameitaka mamlaka ya barabara kuu nchini KeNHA kufanikisha malipo yao kulingana na mkataba wao na serikali.

Aidha, wamelalamikia kupitia mahangaiko kutokana na kucheleweshwa kwa fidia.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKAZI KITALE WAHANGAIKA, WAKOSOA KeNHA

KUPPET YASAMBARATISHA MASOMO BUNGOMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *