#Local News

UPINZANI: KALONZO HAJI

Viongozi wa mrengo wa upinzani wamekariri kuwa kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka hayuko tayari kujiunga na serikali ya Kenya Kwanza, wakiitaka serikali kusitisha juhudi za kumrai ajiunge nayo.

Wakiongozwa na aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua, Martha Karua wa PLP na Eugene Wamalwa wa DAP-K baada ya kujiunga na Musyoka kwenye ziara ya Ukambani, viongozi hao wamewahimiza vijana kusajiliwa kwa wingi kama wapiga kura.

Wanasema hiyo ndiyo njia mwafaka ya kupata mageuzi nchini.

Imeatayarishwa na Antony Nyongesa

UPINZANI: KALONZO HAJI

UGANDA YAKANA KUWATEKA WAKENYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *