#Local News

KNUT YAMTAKA RAIS RUTO KUSHUGHULIKIA GEN-Z

Chama cha Kitaifa cha Walimu (KNUT), tawi la Kisumu, kimeitaka serikali kuharakisha kushughulikia madai ya Gen- Z kukomesha maandamano na kurejesha hali ya kawaida huku shule zikifunguliwa baada ya likizo fupi.

Akihutubia wanahabari, David Obuon, Katibu Mtendaji wa KNUT tawi la Kisumu, amesema kuwa shule nyingi za mijini zinategemea usafiri wa umma, na kutokana na maandamano yanayoendelea, wanafunzi wengi wamekwama huku wengine wakilazimika kusalia nyumbani.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *