NANE WAFARIKI KWENYE AJALI MWINGI
Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali ya barabarani katika eneo la Mwingi huko Kitui imefikia nane. Ajali hiyo ilihusisha matatu ya abiria 14 iliyobingiria na kuanguka kwenye barabara ya Mwingi kuekelea Nairobi watu 5 wakifariki papo hapo.Watu wengine 3 wamefariki wakipokea matibabu,na wale walionusurika wanatibiwa katika hospitali ya Matuu.
Imetayarishwa na Maureen Makhobe
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































