HATIMA YA JOPO LA KUKAGUA DENI LA TAIFA KUJULIKANA SEPTEMBA
Jopo lililoteuliwa na rais William Ruto kukagua deni la taifa litaendelea kusubiri kwa muda zaidi kabla ya kuanza rasmi majukumu yao baada ya kesi iliyowasilishwa mahakamani na dkt. Benjamin Magare na Eliud Matindo kuwazuia kutekeleza majuukumu yao kusongezwa hadi tarehe 18 mwezi wa Septemba mwaka huu.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































