#Football #Sports

ROBERT MATANO AJIVUNIA USHINDI WAKE DHIDI YA HOMEBOYZ

Kocha mkuu wa Sofapaka Robert Matano anajivunia ushindi wa klabu yake wa 2-0 dhidi ya Kakamega Homeboyz katika mechi ya ligi kuu nchini iliyoanadaliwa katika uwanja wa Dandora hapa jijini Nairobi.

Matano, maarifu ‘The Lion’ anamini timu yake kwa sasa ipo imara na inaweza kuonesha ushindani kwenye ligi.

Kwa upande wake, kocha mkuu wa Kakamega Homeboyz John Waw, anasemma timu itaanza kupata matokeo mazuri hivi karibuni.

Imetayarishwa na Nelson Andati

ROBERT MATANO AJIVUNIA USHINDI WAKE DHIDI YA HOMEBOYZ

OLUOCH APONGEZA KIKOSI CHAKE

ROBERT MATANO AJIVUNIA USHINDI WAKE DHIDI YA HOMEBOYZ

KENYA YATOA HATI KWA VYUO VIKUU VIWILI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *