#Sports #Volleyball

MALKIA WAANZA NA MIKOSI

Malkia Strikers walianza vibaya Michezo ya Olimpiki ya Paris Jumatatu alasiri, kwa kufungwa seti 3-0 na mabingwa mara mbili Brazil katika mechi yao ya ufunguzi ya Kundi B Uwanja wa Kusini mwa Paris Arena 1 nchini Ufaransa.

Malkia Strikers, walipoteza kwa seti za moja kwa moja 25-14, 25-13, na 25-12 dhidi ya taifa hilo linalo orodheshwa la pili duniani na washindi wa medali ya fedha katika Michezo ya Olimpiki ya Tokyo.

Hiki kilikuwa kipigo cha nane ambacho Malkia ilionja mikononi mwa Brazil katika mikutano nane.

Imetayarishwa na Nelson Andati

MALKIA WAANZA NA MIKOSI

MUGO SUPER CUP YATAMBA

MALKIA WAANZA NA MIKOSI

SHABANA WAANGUKIA NYOTA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *