GAVANA SHERIFF; WATEUE MAWAZIRI KUTOKA MOMBASA
Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdullswamad Sheriff Nassir amemrai Rais William Ruto kumteua aghalau mtu mmoja kutoka eneo la pwani hasa Mombasa kuwa Waziri katika orotha ya mawaziri waliosalia.
Kulingana na gavana Sheriff Mombasa ina viongozi wenye uwezo wa kuongoza wizara mbali mbali.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































