KAUNTI YA KAKAMEGA YAPITISHA SHERIA YA KUKABILIANA NA DHULUMA ZA KIJINSIA
Mashirika yasiyo ya serikali kwenye ukanda wa magaribi ya kenya yameipongeza sewrikali ya kaunti hya kakamega kwa kuonyesha uwezo wa kuithinisha sheria ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Ili kuthibiti ongezeko la visa vya dhulma za kijinsia afisa mshirikishi wa taasisi moja isiyo ya serikali amesma kuwa sheria hiyo itapunguza visa vya wahalifu kuhitilafiana na kesi za ukatili wa kijinsia vile vile kuwalinda waathiriwa.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































