ATI ATI ZA SHA
Hisia mbali zimeendelea kutolewa kuhusiana na changamoto zinazokabili sekta ya afya, serikali sasa ikitakiwa kuchukulia suala hilo kwa uzito na kuhakikisha wakenya wanapata huduma zilizo bora za afya.
Katika mahojiano na runinga moja nchini mapema leo, mbunge wa Dagoreti North Beatrice Elachi, ameibua hofu kuhusu uwezekano wa maafisa katika wizara ya afya kuhujumiana, naye mwenzake wa Ugenya David Ochieng akiitaka serikali kuwajibika.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































