#Local News

MAAFISA BANDIA WA EACC WAKAMATWA KWA KUWALAGHAI POLISI, KUWANYANYASA WAMILIKI WA MADUKA

Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imewakamata watu wawili wanaoshukiwa kuwavamia na kuwaibia wamiliki wa maduka mjini Mombasa.

Kulingana na EACC, washukiwa hao wanaaminika kuwa sehemu ya harambee ya wanachama watano ambayo inafanya kazi chini ya shirika la kibinafsi.

Shirika hilo aidha linasemekana kuwalenga wamiliki wa biashara kwa kujifanya wakaguzi wa Kupambana na Bidhaa Bandia ili kuwaibia pesa.

Imetayarishwa na Janice Marete

MAAFISA BANDIA WA EACC WAKAMATWA KWA KUWALAGHAI POLISI, KUWANYANYASA WAMILIKI WA MADUKA

RAIS RUTO AFANYA MKUTANO NA WAZIRI MKUU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *