#Local News

TUMEMSAMEHE MUUAJI, FAMILIA YA IAN

Tumemsamehe yeyote aliyehusika katika mauaji ya mtoto wetu, na hatutashinikiza kujua aliyehusika.

Ndiyo kauli ya familia ya Ian Sing’oei ambaye mwili wake ulipatikana katika eneo la Mwiki jijini Nairobi Jumamosi iliyopita, familia hiyo ikizungumza wakati wa mazishi ya kijana huyo.

Babake Ian, John Korir ambaye ni kamishna wa kaunti ya Elgeyo Marakwet na mamake ambaye ni afisa mkuu katika idara ya jinsia kaunti ya Bomet, wamesema kwamba hawana haja ya kumfahamu aliyemwua mtoto wao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

TUMEMSAMEHE MUUAJI, FAMILIA YA IAN

MASHARTI MAPYA KWA WALIMU WATARAJIWA

TUMEMSAMEHE MUUAJI, FAMILIA YA IAN

AFUENI YA NG-CDF KHWISERO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *