#Local News

UJENZI WA NYUMBA ZA BEI NAFUU WANGOA NANGA BUNGOMA

Ujenzi wa nyumba za bei nafuu katika kaunti ya Bungoma umeanza rasmi huku mamia ya wakaazi wakinufaika na mradi huo.

Kwa mujibu wa msimamizi wa mradi huo Polycarp Onyango mradi huo utawahusisha wakaazi wa eneo hilo kwa kuwapa kazi.

Imetayarishwa na Janice Merete

UJENZI WA NYUMBA ZA BEI NAFUU WANGOA NANGA BUNGOMA

FAITH ATARAJIWA KUFANYA VYEMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *