#Local News

ALIYEKUWA MPENZI WA MWANARIADHA REBECCA CHEPTEGEI DICKSON NDIEMA AMEFARIKI

Aliyekuwa mpenzi wa mwanariadha Rebeca Cheptegei Dickson Ndiema ameaga dunia
Hospitali ilithibitisha kuwa Ndiema amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) alikokuwa amelazwa.

Ndiema amefariki siku chache baada ya Cheptegei kufariki katika hospitali hiyo hiyo.
Ndiema alimvamia Cheptegei nyumbani kwake ambapo alimmwagia petroli na kumchoma moto ambao pia ulimjeruhi.

Imetayarishwa na Janice Marete

ALIYEKUWA MPENZI WA MWANARIADHA REBECCA CHEPTEGEI DICKSON NDIEMA AMEFARIKI

WASHUKIWA WAWILI WA KESI YA MAUAJI YA

ALIYEKUWA MPENZI WA MWANARIADHA REBECCA CHEPTEGEI DICKSON NDIEMA AMEFARIKI

LENGO LA KUMBANDUA GAVANA WA NYAMIRA AMOS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *