#uncategorized

USALAMA WA WAMAFUNZI KUIMARISHWA, SERIKALI

Wizara ya elimu imetangaza kuwa itaendesha ukaguzi wa mara kwa mara shuleni kwa lengo la kutathmini hali ya miundomsingi ili kuwahakikishia wanafunzi usalama wao, hasa baada ya wanafunzi 3 katika wa chekechea katika shule ya Queen of Angels kaunti ya Uasin Gishu kuzama kwenye choo walimokuwa.

Katibu katika idara ya elimu ya msingi Julius Bitok na msaidizi wa Rais William Ruto Farouk Kibet, wamesema serikali haitalegeza Kamba katika kuimarisha ubora wa miundomsingi shuleni.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *