#Local News

SENETA MADZAYO AKATAA NYONGEZA YA MSHAHARA

Kiongozi wa wachache katika Seneti Stewart Madzayo sasa anasema hataki nyongeza yoyote ya mishahara.

Akizungumza katika ukumbi wa Bunge leo Jumatano, Madzayo amekataa nyongeza hiyo iliyopendekezwa huku akiwa na matumaini maseneta wenzake watafuata nyayo zake akisema sio wakati mzuri wa nyongeza.

Imetayarishwa na Janice Marete

SENETA MADZAYO AKATAA NYONGEZA YA MSHAHARA

MATUMAINI YAPO KWA KENYA KUONGEZA MAPATO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *