#Local News

WIZARA YA AFYA KAUNTI YA TRANSNZOIA YAWAHAMASISHA WAKAAZI KUHUSU UMUHIMU WA CHANJO YA POLIO

Wizara ya afya katika kaunti ya Transnzoia inaendelea kuwahamasisha washikadau mbali mbali na wathiriwa wa kupooza kabla ya awamu ya pili ya chanjo dhili ya marathi ya pollio kuanza tarehe 9-13 mwezi huu kufanyika katika kaunti 9 kote nchini.

Mshirikishi wa uhamasishaji katika maswala ya afya ya kaunti hiyo Leah Okumu amesema kuwa ni muhimu kuwapa Watoto chini ya miaka 10 chanjo ili kuwalinda dhidi ya marathi hayo.

Imetayarishwa na Janice Marete

WIZARA YA AFYA KAUNTI YA TRANSNZOIA YAWAHAMASISHA WAKAAZI KUHUSU UMUHIMU WA CHANJO YA POLIO

AMORIM ANA KIBARUA KIGUMU

WIZARA YA AFYA KAUNTI YA TRANSNZOIA YAWAHAMASISHA WAKAAZI KUHUSU UMUHIMU WA CHANJO YA POLIO

WIZARA YA AFYA YATAKIWA KULAINISHA MFUMO WA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *