UTEKAJI: RUTO ATAKIWA KUINGILIA KATI
Familia ya mwanaharakati Nicholas Oyoo aliyeripotiwa kutekwa nyara nchini Uganda akiwa na mwenzake Bob Njagi imemtaka Rais William Ruto sasa kushauriana na mwenzake wa Uganda Yoweri Museveni ili kufanikisha kupatikana kwa wanaharakati hao.
Wawili hao wametoweka kwa siku 12 sasa bila kujulikana waliko, wanaharakati wenza nchini wakitishia kufanya maandamano kote nchini siku ya Alhamisi iwapo hawatakuwa wamepatikana.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































