#Local News

SIJAKUWA NA MSAIDIZI, RAIS RUTO

Nimekosa wa kunisaidia kuwaeleza wakenya kuhusu miradi ya serikali na hivyo kuwa changamoto kuu katika serikali yangu kwa kipindi cha miaka 2 iliyopita.

Ni usemi wake Rais William Ruto akizungumza wakati wa kuapishwa kwa naibu rais wa tatu wa Kenya Kithure Kindiki katika ukumbi wa mikutano KICC jijini Nairobi.

Kwa mujibu wa Rais, Kindiki ana uwezo wa kujaza pengo analosema limekuwapo kwa kipindi hicho.

Kwa upande wake, Kindiki ameahidi kuchapa kazi ili kuona taifa linasonga mbele kimaendeleo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SIJAKUWA NA MSAIDIZI, RAIS RUTO

MAUAJI YA KIJINSIA: RUTO ATAOA AMRI

SIJAKUWA NA MSAIDIZI, RAIS RUTO

TIMU YA CHUO KIKUU CHA PEERLESS KABARAK

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *