#Local News

MUUNGANO WA WANAFUNZI WA AFRIKA MASHARIKI WAUNGA MKONO RAILA KUWA MWENYEKITI WA AUC

Muungano wa wanafunzi wa afrika masharika umeunga mkono hazima ya kiongozi wa azimio raila Odinga kuwania wadhifa wa mwenyekiti wa AUC.

Wamemtaja Odinga kuwa kiongozi mwenye tajriba inayostahili kwa wadhifa huo.

Hii inajiri baada ya Odinga tangazwa rasmi na rais William Ruto kwenye hafla iliyohudhuriwa na maraisi wa ukanda wa afrika mashariki.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *