#Local News

MAKATAA YA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU YAONGEZWA

Serikali imeongeza makataa ya kutuma maombi ya ufadhili kwa wanafunzi wa kidato cha nne wanaojiunga na vyuo vikuu katika mwaka wa masomo wa 2024-2025.

Katibu wa elimu ya Juu Beatrice Nyangala anasema makataa hayo yameongezwa kwa siku kumi na kwamba itafungwa agusti tarehe 15.

Imetayarishwa na Janice Marete

MAKATAA YA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU YAONGEZWA

WAHUDUMU WA AFYA KAUNTI YA MIGORI WAHIMIZA

MAKATAA YA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU YAONGEZWA

RAILA NDIYE KIONGOZI PEKEE WA AZIMIO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *