MAKATAA YA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU YAONGEZWA

Serikali imeongeza makataa ya kutuma maombi ya ufadhili kwa wanafunzi wa kidato cha nne wanaojiunga na vyuo vikuu katika mwaka wa masomo wa 2024-2025.
Katibu wa elimu ya Juu Beatrice Nyangala anasema makataa hayo yameongezwa kwa siku kumi na kwamba itafungwa agusti tarehe 15.
Imetayarishwa na Janice Marete