#Local News

VIONGOZI WAMTAKA RAIS RUTO KUFUTILIA MBALI SHA

Viongozi mbali mbali wakiwemo wa kidini wameelezea kutorithishwa na utendakazi wa bima mpya ya jamii SHA.

Kwa mujibu wa viongozi hao wagonjwa hasa wale wanaugua marathi sugu wanakabiliwa na changamoto kupata matibabu chini ya SHA.

Viongozi hao aidha wamelalamikia hatua ya serikali ya kufanya madbadiliko ya bima ya afya b ila kutoa maelezo ya kina kwa umma.

Imetayarishwa na Janice Marete

VIONGOZI WAMTAKA RAIS RUTO KUFUTILIA MBALI SHA

KMA YATOA MAKATAA KWA SERIKALI KUTATUA MZOZO

VIONGOZI WAMTAKA RAIS RUTO KUFUTILIA MBALI SHA

WAKENYA: HATUTAKI MASHIRIKIANO NA ADANI TENA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *