#Local News

VIJANA 100 WA MAGENGE LIKONI WAJISALIMISHA

Vijana 100 waliokuwa wakijihusisha na uhalifu wamejisalimisha kwa polisi huko Likoni, kaunti ya Mombasa, wakiahidi kuachana na uhalifu.

Kamanda wa Polisi wa Pwani, Ali Nuno, ameahidi kuwasaidia kupata njia mbadala za kujikimu, huku mashirika ya kiraia yakiwasihi kujiunga na vyuo vya TVET vinavyogharamiwa na serikali ya kaunti.

Serikali ya kaunti imeahidi kuwapa ajira wale watakaohitimu.

Imetayarishwa na Janice Marete

VIJANA 100 WA MAGENGE LIKONI WAJISALIMISHA

LAMINE AFUNGA BAO LA KIPEKEE

VIJANA 100 WA MAGENGE LIKONI WAJISALIMISHA

MSHUKIWA WA MAUAJI AZUILIWA KWA SIKU 10

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *