#Local News

MWANAMME ‘ARUKA’ KUTOKA GHOROFANI NA KUFARIKI

Polisi wanachunguza kisa ambapo mwanamme mmoja ameripotiwa kuruka kutoka ghorofa ya 4 ya jengo moja kwa barabara ya Tom Mboya katikati mwa jiji la Nairobi na kuangukia roshani ya jengo hilo kabla ya kufariki papo hapo.

Imearifiwa kuwa mwanamme huyo alikuwa chumbani na mtu ambaye hadi sasa hajafahamika, na polisi wanachunguza kubaini iwapo ni mauaji au kujitoa uhai.

Kamanda wa polisi wa kituo cha Central Stephen Okal amethibitisha kisa hicho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MWANAMME ‘ARUKA’ KUTOKA GHOROFANI NA KUFARIKI

KAGWE AAGIZA KUHARIBIWA KWA MBOLEA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *