ABIRIA WAPONEA KIFO BAADA YA BASI KUWAKA MOTO KARIBU NA MTITO ANDEI
Abiria waliokuwa kwenye basi moja wameponea kifo baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuwaka moto katika Mbuga ya Kitaifa ya Tsavo karibu na Mtito Andei kando ya barabara kuu ya Nairobi-Mombasa.
Hata hivyo hakuna vifo vimeripotiwa.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































