#Local News

ABIRIA WAPONEA KIFO BAADA YA BASI KUWAKA MOTO KARIBU NA MTITO ANDEI

Abiria waliokuwa kwenye basi moja wameponea kifo baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuwaka moto katika Mbuga ya Kitaifa ya Tsavo karibu na Mtito Andei kando ya barabara kuu ya Nairobi-Mombasa.

Hata hivyo hakuna vifo vimeripotiwa.

Imetayarishwa na Janice Marete

ABIRIA WAPONEA KIFO BAADA YA BASI KUWAKA MOTO KARIBU NA MTITO ANDEI

NINAONDOKA KWENYE WIZARA YA AFYA NIKIWA NA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *