#Local News

GACHAGUA ATANGAZA AZMA YA URAIS

Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua hatimaye ameweka wazi kwamba atawania urais kwenye uchaguzi mkuu ujao, akiahidi kudhibiti deni linalolikabili taifa mbali na kuimarisha uchumi wa nchi iwapo atachaguliwa.

Kulingana na kiongozi huyo wa chama cha DCP, atafuata nyayo za rais mstaafu marehemu Mwai Kibaki, mbali na kufutilia mbali baadhi ya sera zilizowekwa na rais William Ruto.

Miongoni mwa sera hizo ni kupunguza ushuru unaotozwa wafayakazi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

GACHAGUA ATANGAZA AZMA YA URAIS

POLISI WACHUNGUZA MAUAJI YA TALANTA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *