KINDIKI KWA BUNGE; NITAPATA KAZI?
Prof Kithure Kindike amefika mbele ya kamati ya mmahojiano ya bunge la kitaifa na tayari mahojiano yameanza.
Katika mahojiano hayo yanayoongozwa na spika wa bunge la kitaifa Kithure Kindiki ametakiwa kueleza mafanikio aliyoafikia alipokuwa Waziri wa usala na maswala ya ndani ya nchi.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































