“HATUNA DENI LA SHULE!” SERIKALI YATANGAZA
Serikali imetangaza kuwa haina deni lolote la shule kuhusiana na mgao wa masomo, ikisema fedha zote za mwaka 2025 zimetolewa tayari licha ya walimu wakuu kusema kuwa ni kiwango kidogo tu cha fedha kilichotolewa.
Katibu mkuu katika wizara ya fedha Chris Kiptoo, amesisitiza kuwa shughuli za masomo zinafaa kuendelea bila kutatizika kwani tayari wizara hiyo imetoa fedha.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































