“MBEBA MAONO NI MIMI!” LUSAKA ASEMA KWENYE MAGEUZI

Gavana wa kaunti ya Bungoma Ken Lusaka amefanya mageuzi katika baraza lake la mawaziri na kuwateua maafisa wakuu wapya katika wizara mbali mbali katika kile alichosema kuimarisha utendakazi
Miongoni mwa wlaioathirika ni Hebert Kibunguchi ambaye amehamishwa kutoka idara yam aji hadi idara ya elimu na kuchukua mahali pa David Wamamili ambaye amehamishiwa idara ya biashara.
Carolyne Khalayi amehamishwa kutoka idara ya Biashara hadi idara ya afya, na kuchukua mahali pa Andrew Wekesa ambaye amehamishiwa idara ya maji na mali asili.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa