SHULE KUFUNGULIWA LEO JUMATATU BAADA YA KUAHIRISHWA KWA MUDA

Shule zikifunguliwa leo hii kwa muhula wa pili serikali imetangaza kanuni za usalama kuwalinda wanafunzi, walimu na wafanyakazi wote shuleni.
Katika taarifa wizara ya usalama na maswala ya ndani ya nchi imesema shule zilizoadhiriwa Zaidi na mafuriko hazitafunguliwa leo hii hadi serikali itakapozikarabati shule hizo.
Raymond omolo ni katibu katika wizara wizara ya usalama na maswala ya ndani ya nchi.
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































