#uncategorized

DUALE AIMBA WIMBO WA RAIS RUTO

Waziri wa afya Aden Duale amekariri kauli ya Rais William Ruto kwamba utawala wa Kenya Kwanza hautaruhusu vitisho kutoka kwa wapinzani wake, akisema mambo sasa yatachukua mkondo tofauti kuenda mbele.

Katikia mahojiano na kituo kimoja cha runinga nchini, Duale ametetea kauli ya Rais Ruto ya kuwataka polisi kuwafyetulia risasi miguuni wanaovamia mali wakati wa maandamano.

Duale amesema matukio hayo ni kigaidi na wahusika watakabiliwa kisheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *