RAIS RUTO ATETEA BIMA YA AFYA SHA, AHIMIZA WANANCHI KUJISAJILI
Kwa mara nyingine Rais wiliam Ruto amejitokeza kutetea bima ya afya SHA akisisitiza manufaa yake kwa wananchi Kwa mujibu wa Ruto SHA inawajali wakenya walio na mapato ya chini au bila mapato yoyote vile vile kukabiliana na mapungufu ambayo yamekuwa yakiwakumbna wananchi chini ya bima ya afya ya awali NHIF.
Ruto aidha am ewahimiza wakenya kuhakikisha wanajiandikisha kwa SHA ilio waweze kunufaika na bima hiyo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































