IEBC ILIKUWA AIBU 2022, SULUHISHO ZINAWEZA KUPATIKANA – RAILA
Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga amesema si mara ya kwanza kuwa na matatizo na IEBC
Raila amesema hayo alipohudhuria kutiwa saini kwa Mswada wa IEBC (Marekebisho) kuwa sheria katika KICC.
Kiongozi wa chama cha ODM ameongeza kuwa katika uchaguzi uliopita, Wakenya walikuwa na aibu kwa kile IEBC ilifanya.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































