WAKENYA WAPUMUA MIKONONI MWA EPRA
Mamlaka ya kudhibiti kawi na petroli EPRA imetanagza bei mpya za mafuta mabapo lita ya petroli imepunguzwa kwa shilingi 3, diseli shilingi 6.08 nayo mafuta taa ikipunguzwa shilingi 5.71
Kutokana na kupungua huko, lita ya petroli jijini Nairobi itagharimu shilingi 189.84, diseli shilingi 173.10, nayo mafutaa taa ikigharimu shilingi 163.05 mtawalia.
Kulingana na EPRA, kushuka kwa bei kunaenda sambamba na sheria ya fedha ya 2023.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































