#Local News

‘SERIKALI YANGU IMESIMAMISHWA NA MAOMBI’ RUTO ASEMA

Rais William Ruto amewashauri wakenya mkujendelea kufanya kipaumbele maombi akisema kuwa yatasaidia kuimarisha taifa hili kwa kulainisha mambo mbali mbali

Akitoa hotuba yake katika hafla ya maombi ya kitaifa ambayo yanaendelea kwa sasa katika hoteli ya safari Park rasi anasema tangu achukue hatamu za uongozi mwaka wa 2022 serikali hyake imesimamishwa na maombi

Kwa mujibu war ais juhudi zinazowekwa na serikali zinaambatana na maombi na ndiposa matokeo yake huwa kamilifu

Amepeana mfano wa mvua iliyonyesha baada ya kiangazi kikubwa ,utoshelezi wa chakula na kuyalipa madeni

Kauli ya rais Ruto imetiliwa mkazo na naibu wake Rigathi Gachagua akisema kuwa serikali ya kenya kwanza itazidi kupiga hatua za mbele kutokana na msingi wake kimaombi

Imetayarishwa na Janice Marete

‘SERIKALI YANGU IMESIMAMISHWA NA MAOMBI’ RUTO ASEMA

ROONEY ASEMA NDOTO YAKE NI KUA KOCHA

‘SERIKALI YANGU IMESIMAMISHWA NA MAOMBI’ RUTO ASEMA

MENEJA WA NGCDF MASHAKANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *