#Football #Sports

VILABU VIJIPANGE UPYA

Kuahirishwa kwa mwanzo wa msimu wa ligi ya kitaifa ya daraja la pili soka ya wanaume NSL ni baraka kwa kuwa kutasaidia vilabu kufuata sheria mpya za CAF, huu sio usemi wangu bali wa kocha wa Luanda Villa Gilbert Selebwa.

Msimu wa NSL 2024/25 utaanza Septemba 21 baada ya kuahirishwa kwa wiki mbili na Shirikisho la Soka la Kenya.

Hata hivyo, anahisi kucheleweshwa huko kutaathiri vilabu vilivyotumia pesa kwa maandalizi ya mapema.

Imetayarishwa na Nelson Andati

VILABU VIJIPANGE UPYA

TUPO TAYARI

VILABU VIJIPANGE UPYA

SUDAN YASHINDA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *