#Local News

TAIFA LAUGUA SERIKALI, UPINZANI WAKILAUMIANA

Wakenya wameachwa gizani kuhusu lengo na wahusika wa mauaji na uharibifu wa mali wakati wa maandamano, serikali na upinzani zikiendelea kurushiana lawama bila kukubali kuwajibika.

Kulingana na Rais William Ruto, upinzani una njama ya kuipindua serikali, akiapa kwamba kamwe serikali yake haitaruhusu jaribio hilo kufanyika.

Hata hivyo, mrengo wa upinzani ukiongozwa na aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua umepinga madai hayo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

TAIFA LAUGUA SERIKALI, UPINZANI WAKILAUMIANA

SABA SABA YAVUNJA HISTORIA

TAIFA LAUGUA SERIKALI, UPINZANI WAKILAUMIANA

DUALE AIMBA WIMBO WA RAIS RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *