#Local News

JUHUDI ZA SADC, EAC KUREJESHA UTULIVU DRC

Huenda machafuko yaliyo mashariki mwa taifa la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC yakakomeshwa na utulivu kurejea nchini humo, kufuatia pendekezo la mazungumzo baina ya serikali ya DRC na wapiganaji wa M23.

Kwa mujibu wa Rais William Ruto ambaye pia ni mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kuna haja ya hatua za dharura kuchukuliwa ili kusitisha mapigano hayo ambayo yamesababisha vifo na mamia ya familia kupoteza makazi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

JUHUDI ZA SADC, EAC KUREJESHA UTULIVU DRC

AUC: WANAWAKE ODM WAMWOMBEA ODINGA

JUHUDI ZA SADC, EAC KUREJESHA UTULIVU DRC

NIKO TAYARI KUINGIA AUC, ODINGA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *