#Local News

UMOJA WA MATAIFA WAKASHIFU MAUAJI YA WAANDAMANAJI KENYA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameeleza wasiwasi wake kuhusu ghasia zilizoshuhudiwa wakati wa maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 humu Kenya.

Katika taarifa Guterres amezitaka mamlaka za Kenya kuandaa maandamano ya amani ili kuepusha madhara na vifo vya watu zaidi.

Imetayarishwa na Janice Marete

UMOJA WA MATAIFA WAKASHIFU MAUAJI YA WAANDAMANAJI KENYA

WATU 13 WAUAWA KATIKA MAANDAMANO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *