#Local News

KCSE KUANZA LEO

Jumla ya watahiniwa elfu 990 wa mtihani wa kitaifa wa kidato cha 4 KCSE wameratibiwa kuanza mtihani huo hii leo na kukamilika tarehe 21 mwezi ujao.

Kwa mujibu wa ratiba ya baraza la mitihani ya kitaifa KNEC, mitihani ya Kifaransa, Kijerumani, lugha na ishara inaanza hii leo na kufuatiwa na mitihani ya utendaji yaani practical ambayo itaanza hapo kesho hadi tarehe 31 mwezi huu.

Mitihani ya nadharia ama theory, itaanza tarehe 3 mwezi ujao, somo la Fizikia likifunga ratiba hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KCSE KUANZA LEO

TANZANIA YAMULIKWA KWA UKIUKAJI

KCSE KUANZA LEO

ODM YAMWITA RUTO AREJEE NYUMBANI 

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *