#Local News

MAANDAMANO YALEMAZA BIASHARA BOMET

Barabara kuu ya Kisii kuelekea Narok imefungwa kwa zaidi ya saa tatu na waandamanaji mjini Bomet ambao wanaandamana kulalamikia uongozi duni kwenye kaunti hiyo.

Wakati wa maandamanao ya leo, vurugu zimeshuhudiwa baada ya makunndi mawili kukabiliana kwa mawe na kusababisha wafanyabiashara wengi kufunga biashara zao.

Hata hivyo, waandamanaji wamemlaumu gavana Hillary Barchok kutokana na vurugu hizo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAANDAMANO YALEMAZA BIASHARA BOMET

NCIC; RIPOTI KESI ZA UCHOCHEZI

MAANDAMANO YALEMAZA BIASHARA BOMET

DPP INGONGA NDIYE RAIS WA APA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *