#Local News

KAMATI YA NHIF YAZINDULIWA KUCHUNGUZA MADENI

Ni afuueni kwa taasisi za afya ambazo zilitoa huduma za afya chini ya bima ya afya ya awali NHIF baada ya Wizara ya Afya kuzindua Kamati ya Uthibitishaji wa Madeni ya Matibabu ya NHIF iliyoanzishwa tarehe 30 Machi.

Kamati hiyo inachunguza madeni ya NHIF yaliyobaki kutoka Julai 2022 hadi Septemba 2024 na kutoa mapendekezo kuhusu ulipaji wake.

Kamati, inayotarajiwa kuhudumu kwa miezi mitatu, itahakikisha kugundua madai ya udanganyifu na kupendekeza hatua na mageuzi kwa serikali ili kuzuia kurudiwa kwa madai yasiyothibitishwa.

Imetayarishwa na Janice Marete

KAMATI YA NHIF YAZINDULIWA KUCHUNGUZA MADENI

LIVERPOOL YAPOTEZA 3-2 DHIDI YA FULHAM

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *