#Local News

WATANO WAFARIKI KWENYE MGODI RONGO

Watu 5 wamefariki baada ya ukuta wa mgodi kuporomoka na kuwaangukia walipokuwa wakichimba migodi katika eneo la Rongo kaunti ya Migori.

Akithibitisha kisa hicho, Naibu Kamishna wa kaunti ndogo ya Rongo George Matundura, amesema watu zaidi wangali wamekwama kweny mgodi huo na kuongeza kwamba juhudi za uokozi zinaendelea.

Aidha, ameahidi kwamba serikali itaweka mikakati ya kuimarisha usalama wa shughuli za uchimbaji migodi eneo hilo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WATANO WAFARIKI KWENYE MGODI RONGO

MAMBO NI MATATU, NAKHUMICHA KWA MADAKTARI

WATANO WAFARIKI KWENYE MGODI RONGO

CHELUGUI AZUNGUMZIA UPORAJI WA HUSTLER FUND

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *