#Local News

GACHAGUA MAHAKAMANI KUPINGA KUFURUSHWA

Naibu rais Rigathi Gachagua sasa amewasilisha kesi katika mahakama ya Milimani jijini Nairobi kupinga hoja ya kubanduliwa kutoka mamlakani, ikiwa ni siku moja kabla ya vikao vya kukusanya maoni ya wakenya kuhusu hoja hiyo kuandaliwa.

Kupitia mawakili wake, Gachagua amesema kwamba hoja hiyo imechoichewa kwa misngi ya uongo na udanganyifu.

Aidha, amesema kwamba udanganyifu huo umewasilishwa kwa wananchi ili kufanikisha hioja hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

GACHAGUA MAHAKAMANI KUPINGA KUFURUSHWA

SERIKALI YA TURKANA YAENDESHA CHANJO YA POLIO

GACHAGUA MAHAKAMANI KUPINGA KUFURUSHWA

KENYA YAZINDUA ETA KURAHISISHA USAFIRI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *